(Yogo on the Beats)
[Verse 1 : Alikiba]
My gal we ni matata, body matata mbaya eeh
Bwana mdogo umenikamata, unanicheza kama karata
Tulikutana kule Cape Cape town
Mpaka Accra Town dowtown, eeh
Eti una sifa za kudanga
Na mengi wanasema sijaona
[Pre Chorus : Alikiba]
Wivu umewaingia, Mungu kanionyesha ishara
Ndege wanashangilia na nitakupeleka ulaya
Wivu umewaingia, Mungu kanionyesha ishara
Ndege wanashangilia na nitakupeleka ulaya
[Chorus : Alikiba]
Wakiniona wananiita (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Hawajui ninachofanya mi (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Nikitema unashiba (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Kilimanjaro napanda mie (Bwa mdogo)
Bado bwana mdogo, bwa mdogo
Mmmh yeah yeah yeah
[Verse 2 : Patoranking]
Baby. this people no gonna let me vex make a bass gone
For my baby girl I no go calm down
This is we loving, my love is just for fun
So Mr. Eta Mahn, make her just shine
Sweet lover you got a text
From your lover man, hе more caress, yah
See you later undеr red dress
Bedroom bully girl, me wanna undress
Girl dem alingo me no go send dem
(Mbololo) anybody hating girl no go friend dem
(Jogodo) make use this love will offend dem
(Mbololo) if dem no send us we no go send dem, ooh
Baby girl just run to me now
I'm your lover you give it to me now
Alikiba, Patoranking you know
Way say
[Chorus : Alikiba]
Wakiniona wananiita (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Hawajui ninachofanya mi (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Nikitema unashiba (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Kilimanjaro napanda mie (Bwa mdogo)
Bado bwana mdogo, bwa mdogo
[Pre Chorus : Alikiba]
Wivu umewaingia, Mungu kanionyesha ishara
Ndege wanashangilia na nitakupeleka ulaya
Wivu umewaingia, Mungu kanionyesha ishara
Ndege wanashangilia na nitakupeleka ulaya
[Chorus : Alikiba]
Wakiniona wananiita (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Hawajui ninachofanya mi (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Nikitema unashiba (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Kilimanjaro napanda mie (Bwa mdogo)
Bado bwana mdogo, bwa mdogo